Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Sunday, 11 July 2010
FRIDAY SIMBAYA: IRINGA MUNICIPAL HOSPITAL
MWANAFUNZI WA MUCE AJITOSA KUWANIA UBUNGE MBINGA MASHIRIKI

Na Friday Simbaya,
Iringa
WANACHAMA zaidi wanatangaza nia kugombea ubunge katika majimbo kadhaa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mwanachuo wa Chuo Kikuu cha
Edmund ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Elimu cha Mkwawa, Mkoa Iringa, ametangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo la Mbinga Mashariki kupitia CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari jana chuoni hapo, Nditi Edmund alisema kuwa ameamua kugombea ili kuleta maendeleo na kudai kuwa jimbo hilo linakabiliwa na matatizo mengi ikiwa ni pamoja ukosefu wa miundombinu, soko la kahawa na elimu.
Alisema kuwa endapo akishinda atafanya mambo mengi kwa shirikiana na wananchi wa jimbo
Aliongeza kuwa Wilaya ya Mbinga iko nyuma katika sekta ya kilimo kutokana na ukosefu wa zana za kilimo pamoja na pembejeo.
Jimbo
FRIDAY SIMBAYA: CHADEMA Iringa Mjini
MWANAFUNZI WA MUCE AJITOSA KUWANIA UBUNGE
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...