Wednesday, 24 December 2014

ST. DOMINIC SAVIO KIDEDEA MKOA WA IRINGA MATOKEO LA DARASA LA 7



Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Wamoja Ayubu (kulia) akifungua kikao (kushoto) ni Afisa Elimu Mkoa wa Iringa Mwalimu Joseph Mnyikambi

Mkoa wa Iringa umezitambua shule 10 bora na wanafunzi 10 waliofanya vizuri zaidi katika mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2014.


Shule hizo na nafasi kimkoa na kitaifa katika mabano ni St. Dominic Savio (1/ 39), Ukombozi (2/ 171), St. Charles (3/176), Ummusalaama (4/ 183), Wilolesi (5/210), Sipto (6/241), Star (7/ 252), Southern Highland (8/ 353), Lipalama”A” (9/367) na BrookeBond (10/520).

MAGAZETI LEO JUMATANO...!





Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...