Wednesday, 1 October 2014

Uhaba wa maji chanzo cha kusambaratika kwa ndoa






 Katibu wa CCM mkoani Iringa, Hassan Mtenga (wa pili kushoto) akisikiliza kilio cha maji kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Igunga kilichopo Ilula wilayani Kilolo, mkoa wa Iringa jana (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

Mkazi wa Ilula wilayani kilolo ambaye akifahamika jina lake mara moja akielezea tatizo la uhaba wa  maji kwa Katibu wa CCM mkoani Iringa, Hassan Mtenga (hayupo pichani) (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

Na Friday Simbaya, Kilolo

Wananchi wa mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema uhaba wa maji  ni moja ya chanzo kinachochangia kusambaratika kwa ndoa pamoja na kuongozeka kwa maambukizi ya Ukimwi, THE SCOOP imeelezwa.

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...