Tuesday, 30 June 2015

MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo



MUSA LEONARD MDEDE akitoa neno katika kongamano la vijana wa katoliki 





baadhi ya vijana wakimsikiza mdede katika kongamano hilo.





baadhi ya viongozi wa vijana hao wakiwa makini kumsikiliza mdede













mdede akiingia katika ukumbi uliokuwa unafanyika sherehe


na fredy mgunda, iringa


Vijana wa kikatoliki waliokuwa kwenye kongamano lililofanyika katika kijiji cha ulete wamewataka wananchi wa jimbo la kalenga kuelekeza macho na masikio yao kuhakikisha wanamchagua kijana
mwenzao ambaye ameonekana kuwa na uwezo wa kuwa kiongozi bora na kuwaletea maendeleo katika jimbo hilo.

MAGAZETI LEO JUMANNE
















Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...