Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Saturday, 14 March 2015
KAULI YA KADINALI PENGO JUU YA JUMUIYA YA KIKRISTO KUHAMASISHA WAUMINI KUIPINGA KATIBA

"Maaskofu hatuna mamlaka ya kuwaamlia / Kuwalazimisha Waumini Wetu Wafanye Uamuzi Gani Kuhusu Katiba, Kuwaamulia ni Kuwadharau Kuwa Hawawezi Kufanya Uamuzi Sahihi Wao Wenyewe Na Kuingilia UHURU Wao.
Katibu Mkuu Dk. Slaa ziarani wilayani Kahama, Shinyanga
Katibu Mkuu wa Chama, Dk. Willibroad Slaa anatarajiwa kufanya ziara katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga kwa ajili ya shughuli za kijamii ambapo pia atapata fursa ya kukutana na wananchi kwa ajili ya masuala ya ujenzi wa chama.
Katika ziara hiyo itakayofanyika Jumamosi ya Machi 14, mwaka huu, Katibu Mkuu atafika katika Kijiji cha Mwakata, wilayani Kahama, kuwajulia hali na kuwapatia pole wananchi waliopatwa na janga la mvua kubwa ya mawe hivi karibuni, hali iliyosababisha vifo vya watu, majeruhi na uharibifu mkubwa wa mali na makazi.
Katibu Mkuu pia atapata fursa ya kuzungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara utakaofanyika eneo la Isaka, Jimbo la Msalala, wilayani Kahama. (CHANZO: CHADEMABLOG)
Subscribe to:
Posts (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...