Monday, 16 February 2015

UTATA WAENDELEA KUJITOKEZA NANI ATAKUWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA IRINGA MJI







  fredrick mwakalebela akizungumza na waandishi wa habari

 mwanahabari frank kibiki, aliyewahi kuwa
katibu wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (uvccm) ngazi ya wilaya kwa
zaidi ya miaka 10 na ambaye ni mjumbe wa nec.


 fredrick mwakalebela akiwa na rais wa jamhuri ya muungano ya tanzania.

na mwanahabari wetu fredy mgunda,iringa.

wananchi na
wananchama wa chama cha mapinduzi (ccm)wa manispaa ya iringa wameendelea
na  sitofaham na ni mtu sahihi wa
kugombea jimbo la iringa mjini kutokana na wagombea wengi kujitokeza katika
harakati hizo.

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...