Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Thursday, 5 March 2015
AMA KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA DUNIA INA MAMBO...!
Unaweza usiamini ila upungufu wa chembe hai nyeupe za damu ( White Blood cells), ambazo huzuia maambukizi na hutumika kama kinga ya mwili dhidi ya maradhi, hali hiyo imesababisha Kijana Dede Koswara ambaye kwasasa ana miaka 36 aliyezaliwa kama binadamu wa kawaida miguu yake na mikono kubadilika na kuwa na maumbo kama ya mti. Uzito sasa unaeleemea mikononi na miguuni hali inayofanya ashindwe kutembea vizuri
Una lipi la kumwambia jamaa. (EATV)
MAKAMBAKO KUMEKUCHA TENA...!
Mkazi wa mji wa Makambako mkoani Njombe ambaye hakufahamika jina lake mara moja akipita karibu na maduka yaliyofungwa kufutia mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea mkoani hapa leo asubuhi. Majuzi tena wafanyabiashara hao walifunga maduka yao zaidi saa sita na kwenda mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili mwenzao, Maxson Sanga dhidi ya kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dkt. Rished Badi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Njombe na leo tena wamefunga maduka yao kwenda kusikiliza kesi inayomkabili mwenyekiti wa wafanyabishara nchini John Minja. (Picha na Friday Simbaya)
Subscribe to:
Posts (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...