Monday, 6 October 2014

ITUNUNDU FC MABINGWA WA KOMBE LA SPANEST



Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dk Leticia Warioba akimkabidhi kombe la ushindi wa ligi ya SPANEST, kapteni wa Itunundu Fc
Hapa akikabidhi cheti cha ushindi
Akiwavisha Itunundu FC medali za dhahabu

MKURUGENZI WA TFF MVELLA ATUPWA JELA MIAKA SITA











Mvella mwenye suti ya michezo siku moja kabla hajahukumiwa
MAHAKAMA ya Mkoa ya Iringa jana imemtia hatiani  Mkurugenzi wa Sheria na Utawala wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Eliud Mvella baada ya kupatikana na makosa manne ya kuendesha biashara ya bima bila kibali.

Kweli kizungu ni kigumu wandugu!

NHC IMEZITAKA HALMASHAURI ZA MIJI ZITOE ARDHI KWA GHARAMA NAFUU




http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2011/08/Katanga-8.png


 http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2011/08/Katanga2.png
 Baadhi ya makazi duni eneo la Katanga nchini Uganda. (PICHA KWA MSAADA WA MTANDAO)


Na Friday Simbaya, Iringa
Ikiwa ni katika  kuaadhimisha siku ya makazi duniani Shirika la nyumba la taifa (NHC) katika juhudi ya kuunga mkono serikali ili kuondokana na makazi duni nchini lina mpango wa kujenga jumla ya nyumba 15,000 mpaka kufikia mwaka 2014/15.

Magazeti Leo Jumatatu

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...