Mitihani yavuja RUCO. Ni mitihani ya mwisho wa semista maarufu kama UE (University Examination)iliyoanza tarehe kumi na saba chuoni hapo imevuja kiasi cha kutaka kuanzisha vurugu. Kutoka kwa mwanafunzi mmoja wa chuo hiko alidai mitihani iliyovuja ni ya watu wanaosoma shahada ya elimu mwaka wa tatu tu.Na taarifa za awali zinaonesha zaidi ya mitihani mitatu sasa imevuja na imeonekana adharani kabla ya kufanyika.Watuhumiwa wanaohusika kuvijisha mitihani hawajafahamika lakin wako waadihli (DR 3,AL 2) watano ambao wanahusishwa na uvujaji huo wa mitihani hiyo.taarifa zaidi zitawajia pale tu zitapo patikana.
By Anonymous on MKWAWA UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION on 2/22/11
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Friday, 25 February 2011
Subscribe to:
Posts (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...