Friday, 21 January 2011

DIWANI AKIHIMIZA SHUGHULI ZA MAENDELEO

Mheshimiwa Diwani wa Kata Mpya ya Peramiho, Izack Alex Mwimba akizungumza na baadhi ya wananchi wa kata yake katika mkutano wa hadhara uliyofanyika Kijiji cha Peramiho 'A'. Diwani huyo alikuwa akiwahimiza wananchi katika shughuli za maendeleo hususani ugawaji wa vocha za pembejeo.

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...