Mwandishi wa Habari wa kujitemea na Mmiliki wa blog hii Bw. Friday Simbaya mwenye shati la draft akipata maelekezo kutoka kwa Mhudumu Bw. Komba namna ya ufugaji wa kisasa wa kuku wa mayai na wanyama katika Kitengo cha Ufugaji Kuku kilichopo Abasia ya Peramiho Songea Vijijini mkoani Ruvuma leo. Alisema kuwa wa kuku zaidi ya 3,000 hutaga mayai tray 100 kila siku. Bw. Komba alisema kuwa kuna aina tatu ya kuku ambapo ni Bovan Brown, Bovan White na Hisex kutoka Mozambique na Malawi.
Mwandishi wa Habari akimshika kuku aina ya Bovan Brown kwa kuangalia ubora wake na jinsi alivyotunzwa vizuri.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Wednesday, 22 December 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...