Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Wednesday, 4 January 2017
KIGOMA SISTERS FC YAIBAMIZA PANAMA FC YA IRINGA 2-1
Kigoma Sister FC ya Kigoma (jezi la bluu) yaichapa Panama FC ya Iringa bao 2-1 katika mechi iliochezwa katika Uwanja wa Kumbukumbu wa Samora mjini Iringa leo, katika Ligi ya Wanawake inayoendelea nchini .
Katika kipindi cha kwanza timu hizo zilitoshana nguvu kwa kufanya goli 1-1, lakini katika kipindi cha pili upepo ulibadilika kwa timu ya Kigoma Sister kuongeza goli la pili.
Timu zingine zinazoshiriki ligi hiyo ni Viva Queens ya Mtwara, Fair Play FC (Tanga), Mlandizi Queens (Pwani), Marshi Academy (Mwanza) na Baobao Queens (Singida).
Zingine ni JKT Queens (Bukoba), Mburahati Queens na Evergreen Queens zote za jijini Dar es Salaam.
Chama cha soka la wanawake Tanzania (TWFA)kwa kushirikiana na Shirikisho la soka Tanzania (TFF) kinaendesha ligi hiyo.
LIPULI FC, ‘YATEMBEZA BAKULI’
![]() |
Baadhi wa wachezaji wa Klabu kongwe ya Lipuli Football Club yenye makazi yake katika Mji wa Iringa wakiwa katika kambi yao iliyopo katika Hoteli ya Sambala mjini Iringa jana. Kushoto ni nahodha wa timu hiyo Ally Sonso, timu hiyo ipo kambini kwa ajili ya mechi yao dhidi ya timu ya Mshikamano ya jijini Dar es Salaam Jumamosi wiki hii.
Duru la Kwanza
Lipuli FC vs African Sports 1-1
Lipuli FC vs Kiluvya 1-0
Lipuli FC vs Pamba 2-0
Mshikamano vs Lipuli 0-1
Polisi vs Lipuli 0-1
Friends Rangers vs Lipuli 3-0
Ashanti vs Lipuli 1-1
Duru la Pili
African Sports vs Lipuli 0-1
Kiluvya vs Lipuli 2-3
Zimebaki timu nne za nyumbani
1. Mshikamano
2. Polisi
3. Ashanti
4. Friends rangers
Na nje mechi moja kule Mwanza kucheza na Pamba,
Timu ya Lipuli ina jumla ya pointi 20.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...