Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, huyu ni Prisca Nguruwe (10) wa Darasa la 4 katika Shule ya Msingi Namakinga, Kata ya Maposeni Wilayani Songea Mkoani Ruvuma akiwasadia wazazi wake kupukuchua mahindi kwa kupiga kwenye mfuko.
Mwenyekiti Deo J. Komba wa Kijiji cha Maposeni wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma akimuonesha mwandishi ndama wake alipotembelea kijiji hicho Jumapili. Kijiji kilianzishwa mwaka 1974 wakati wa opresheni sogeza na kina wakazi zaidi ya 2,280 kutokana Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2000.
Wakazi wa Mtaa wa Ujamaa katika Kijiji cha Maposeni, wilayani Songea mkoani Ruvuma wakiwa wamepumzika kwenye kivuli baada mwendo mrefu kutoka kuvuna mahindi huku wakiwa wamepanda kwenye mkokoteni unaovutwa na Punda.
Watoto wa kifurahia mavuno mazuri katika Kijiji cha Maposeni
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...