Wednesday, 5 August 2015

MAGAZETI LEO JUMANNE

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

DK MAGUFULI ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS NEC



Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan na wakilakiwa na Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wengine akipokewa katika ofisi ndogo ya CCM Mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam baada ya kutoka Tume ya Uchaguzi kuchukua Fomu za kugombea Urais  Agosti 4, 2015.













DUNI HAJI MGOMBEA MWENZA WA LOWASSA KUPEPERUSHA BENDERA YA UKAWA















Mkutano Mkuu wa Chadema kwa pamoja umempitisha Mwanasiasa Edward Lowassa kama mgombea Urais na Juma Haji Duni kuwa mgombea Mwenza katika uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 25 oktoba 2015.


Katika upigaji kura Kanda zote zimepiga kura ya NDIYO kwa Mh. Edward Lowassa na hakuna kanda iliyosema HAPANA, huku wakishangilia kwa nguvu.


Kanda ya Kaskazini, Kanda ya kati, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Kusini na nyingine zote pia zimepiga kura ya NDIYO kwa Juma Haji Duni kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi nkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.

UNDP PRESS RELEASE END OF JUDGES SENSITIZATION SEMINARS ON ELECTORAL DISPUTE RESOLUTION (EDR)






Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...