Tuesday, 14 September 2010

ADHA YA USAFIRI DAR

ADHA  ya usafiri Dar es Salaam wanafunzi hawathaminiwi hii ilidhihirika jana katika Kituo cha daladala Mtoni Mtongani ambapo mwanafunzi huyu katika picha (watatu kutoka kulia) akionekana kushangaa wakati watu wazima wakigombea usafiri.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...