Monday, 6 September 2010

DKT.MOHAMED BILAL ALIPOKUWA MANISPAA YA IRINGA

Kutoka kushoto ni Bw. Amani Mwamhindi Meya wa Iringa aliyemaliza muda wake, Bi.Monica Mbega mgombea ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini, Bw. Deo Sanga Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Bilal Mohamed Mgombea Mwenza wa Urais, Mwenyekiti wa Iringa Mjini Bw. Abedi kiponza na wamwisho kabisa kuria ni Bi. Asha Bilal, katika mkutano wa kampeni ya uchaguzi CCM uliyofanyika viwanja vya Mwembetogwa Manispaa ya Iringa jana.



 Umati wa wananchi wa Manispaa ya Iringa wakimsikiliza Dkt Bilal katika Mkutano wa kampeni ya Uchaguzi wa CCM jana.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...