Kutoka kushoto ni Bw. Amani Mwamhindi Meya wa Iringa aliyemaliza muda wake, Bi.Monica Mbega mgombea ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini, Bw. Deo Sanga Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Bilal Mohamed Mgombea Mwenza wa Urais, Mwenyekiti wa Iringa Mjini Bw. Abedi kiponza na wamwisho kabisa kuria ni Bi. Asha Bilal, katika mkutano wa kampeni ya uchaguzi CCM uliyofanyika viwanja vya Mwembetogwa Manispaa ya Iringa jana.
Umati wa wananchi wa Manispaa ya Iringa wakimsikiliza Dkt Bilal katika Mkutano wa kampeni ya Uchaguzi wa CCM jana.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...
No comments:
Post a Comment