Wanahabari wakiwa katika picha ya pamoja katika Uwanja wa Ndege Nduli Mjini Iringa leo wakati wakimsubiri Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dr. Jayaka Mrisho Kikwete tayari kwa kuanza kampeni za uchaguzi zake mkoani Iringa. Kutoka kushoto ni Friday Simbaya wa The Guardian-Iringa, Anita Boma wa Uhuru/Mzalendo-Iringa, Issa Michuzi wa DailyNews na Selina Wilson wa Uhuru/Mzalendo-Dar.
Journalists sharing experiencce and ideas while waiting for Presidential candidate on the ticket of CCM, Dr Jakaya kikwete at the Nduli Airport in Iringa. The CCM presidential flagbearer has started his election campaign rallies in the region on Tuesday by staring with Kilolo, Kalenga, Isimani and later on in Iringa Urban.
CCM Presidential hopeful, Dr Jakaya Kikwete arriving at Nduli Airport in Iringa ready to start his election campaign rallies, he landed at 09:30 hrs morning and was welcomed by Iringa residents today.
Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dr Jakaya Mrisho Kikwete akivalishwa skafu na Green Guard mara baada ya kuwasiri wa Uwanja wa Ndege Nduli Mjini Iringa leo.
Mgombea Urais kupitia CCM Dr Jakaya kikwete akimtazama mtoto baada ya kumpa zawadi alipowasiri uwanja Ndege wa Nduli wakati akipita kuwasalimia waliyofika kumlaki uwanjani hapa.
Mkazi wa Iringa Mjini ambaye hakufahamika jina lake mara moja akimuonyesha mjuku wake Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM wakati akihutubia wananchi na wanachama wa CCM Uwanja Samora jioni ya leo ambapo uwanja ulifurika umati wa watu.
Mgombea Ubunge Viti-Maalum mjini Iringa Lediana Mng'ong'o kushoto na Mgombea Ubunge Jimbo la Iringa Monica Ngezi Mbega wakibalishana mawazo leo katika Uwanja wa Ndege Nduli Mjini Iringa kabla ya kuwasiri kwa Mgombea Urais kuptia CCM Dr Jakaya Kikwete kiwanjani hapa kutoka Dar es Salaam.
Monica Mbega pressure inashuka pressure inapanda baada ya Ugombea Ubunge kupitia Chadema Mchungaji Peter Msigwa kumnima usingizi katika kamapeni zake za uchaguzi.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...
No comments:
Post a Comment