Wednesday, 15 September 2010

MWANDISHI AVAA KHANGA YA CCM NA BAADAYE KUPANDA GARI LA MATANGAZO YA CHAMA HICHO NA KUTOKOMEA NALO----HABARI NDIYO HIYO!








Mwandishi wa habari ambaye akufahamika jina lake mara moja amekutwa akiwa amevaa Khanga ya Chama Cha Mapindizi (CCM) katika Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2010 uliyokuwa unahutubiwa na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Temeke, Bw. Abasi Zuberi Mtemvu leo. Mkutano huo ulifanyika katika Uwanja wa MjiMpya-Tawi la Kichangani (CCM) Kata ya Azimio Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...