Wednesday, 13 October 2010

KAMPENI ZA UCHAGUZI



Mgombea Udiwani Kata ya Mtwivila Mjini Iringa Bw. Vitus Mushi (kushoto) kupitia CCM akiwahutubia wanachama na wananchi wa Mtaa wa Idunda kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi leo jioni. Aidha, katika mkutano mgombea huyo udiwani waliwambia wananchi kuwa endapo watamchagua kuwa diwani wa kata huyo ifikapo Oktoba 31, 2010 atahakikisha anaboresha miundombinu za afya, elimu na barabara na kuongeza kuwa barabara kubwa za Kata ya Mtwivila zinawekwa rami.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...