Saturday, 23 October 2010

MKUTANO WA DHARULA WA IPC

 Mwenyekiti ya Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC), Bw. Kenneth Simbaya (katikati) akiongea na wajumbe walifika katika mkutano mkuu wa dharula ambapo pamoja na mambo mengine walitoa taarifa ya mapato  kwa kipindi cha miaka miwili (2008/2009 na 2009/2010 hadi 2010) ya IPC  uliyofanyika Jumamosi. Kushoto ni Mweka Hazina wa IPC Bw. Selemani Bokhe and kulia ni Katibu Mtendaji wa Klabu hiyo Bw. Frank Leonard.


Baadha ya wanachama waliohudhulia mkutano wa dharula wakifuatilia mkutano kwa makini.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...