Wednesday, 20 October 2010

ZIMEBAKI SIKU 11 KABLA YA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA

 Mtoto ambaye jina lake halikufahamika mara moja akifuatilia mkutano wa kampeni za uchaguzi uliyofanyika katika Kata ya Mkwawa  huku akiwa ametundika kewenye kigari chake picha za Mgombea Ubunge Jimbo la Iringa Mjini kupitia chama cha CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa leo.


Wananchi wakiwa wamekunja ngumi kwa pamoja na kupiga kilele kwa kusema 'People's Power' kama 'slogan' ya chama cha CHADEMA katika mkutano wa kampeni wa uchaguzi uliyofanyika Kata ya Mkwawa Jimbo la Iringa Mjini ambapo Mgombea Ubunge alikuwa akuhutubia jioni ya leo.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...