Mama mmoja mkazi Ludewa Mjini ambaye hakufahamika jina mara akijifuta wino kidoleni mkono wa kushoto kidole kidogo baada ya kutoka chumba cha kupigia kura katika kituo cha kipigia kura kilichopo ofisi ya makao makuu ya Kata ya Ludewa mjini jana. Kata ya Ludewa ilikuwa na jumla ya vituo vya kupigia kura 14 ambapo katika uchaguzi wa madiwani 2010 katika Kata ya Ludewa mjiini walikuwepo jumla ya wagombea wanne, ambao ni Monica Mchilo (CCM), Oscar Kikoti (CUF), Kilian Kanyaga (NCCR-Mageuzi) na Pirmini Ngailo (TLP). Katika uchaguzi huo Monica Mchilo (CCM) aliibuka mshindi kwa kupata kura zaidi 1,800.
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Monday, 1 November 2010
UCHAGUZI MKUU 2010 KATIKA JIMBO LA LUDEWA
Mmoja wa makarani waongozaji, Joseph Mtake akihakikisha kama jina la mpiga kura lipo kwenye orodha ya majina yaliyobandikwa nje kituo cha kupigia kura kilichopo katika ofisi ya Makao Makuu ya Kata ya Ludewa mjini kabla ya mpiga kura hajaingia rasmi ndani kwa ajili ya kuwapigia kura rais na diwani. Jimbo la Ludewa (Mkoa wa Iringa) ambaye mbunge wa chama cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikujombe alipita bila kupingwa katika kura za maoni walifanya chaguzi mbili tu ya urais na udiwani katika ucgagazi Mkuu 2010.
Mama mmoja mkazi Ludewa Mjini ambaye hakufahamika jina mara akijifuta wino kidoleni mkono wa kushoto kidole kidogo baada ya kutoka chumba cha kupigia kura katika kituo cha kipigia kura kilichopo ofisi ya makao makuu ya Kata ya Ludewa mjini jana. Kata ya Ludewa ilikuwa na jumla ya vituo vya kupigia kura 14 ambapo katika uchaguzi wa madiwani 2010 katika Kata ya Ludewa mjiini walikuwepo jumla ya wagombea wanne, ambao ni Monica Mchilo (CCM), Oscar Kikoti (CUF), Kilian Kanyaga (NCCR-Mageuzi) na Pirmini Ngailo (TLP). Katika uchaguzi huo Monica Mchilo (CCM) aliibuka mshindi kwa kupata kura zaidi 1,800.
Mwandishi wa habari wa The Gurdian na mmliki wa blog hii Friday Simbaya (kushoto) akifanya mahojiano na Monica Mchilo mshindi (CCM) katika uchaguzi wa wadiwani, Kata ya Ludewa Mjini nyumbani kwake leo.
Mama mmoja mkazi Ludewa Mjini ambaye hakufahamika jina mara akijifuta wino kidoleni mkono wa kushoto kidole kidogo baada ya kutoka chumba cha kupigia kura katika kituo cha kipigia kura kilichopo ofisi ya makao makuu ya Kata ya Ludewa mjini jana. Kata ya Ludewa ilikuwa na jumla ya vituo vya kupigia kura 14 ambapo katika uchaguzi wa madiwani 2010 katika Kata ya Ludewa mjiini walikuwepo jumla ya wagombea wanne, ambao ni Monica Mchilo (CCM), Oscar Kikoti (CUF), Kilian Kanyaga (NCCR-Mageuzi) na Pirmini Ngailo (TLP). Katika uchaguzi huo Monica Mchilo (CCM) aliibuka mshindi kwa kupata kura zaidi 1,800.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...
No comments:
Post a Comment