Monday, 10 January 2011

NADHIRI ZA DAIMA


Baba Abate wa Abasia ya Peramiho Benedictine, Anastasius Reiser OSB (Mwenye Kofia) akitoa Nadhiri za Daima kwa mabruda watatu katika Kanisa la Abasia Peramiho, Jimbo Kuu la Songea mkoani Ruvuma Jumamosi. Kutoka kushoto kwenda kulia ya mabruda waliyopiga magoti ni  Br. Xaver Mteleke OSB kutoka Parokia ya Kasulu, Jimbo la Kigoma, Br. Ludoviko Komba OSB kutoka Parokia ya  Mjimwemw, Jimbo Kuu la Songea na Br. Martin Mrope OSB Parokia ya Ndanda katika Jimbo la  Mtwara.

Wakiwa na mataji ni mabruda watatu waliopata Nadhiri za Daima katika Kanisa la Abasia Benedictine Peramiho Mkoani Ruvuma Jumamosi. Kutoka kushoto kwenda kulia ni Br.Xaver Mteleke OSB, Parakia ya Kasulu, Jimbo la Kigoma , Br.Martin Mrope OSB Parakia ya Ndanda katika Jimbo la Mtwarana Br. Ludoviko Komba OSB Parakia ya Mjimwema katika Jimbo Kuu la Songea mkoani Ruvuma.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...