Wednesday, 3 August 2011

MALKIA WA MCHWA HUYU HAPA

Matola Suleiman mkazi wa Songea Mahenge katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma akiwa ameshika malkia wa mchwa mkononi kutoka kwenye shimo alikojificha chini ya sakafu ya nyumba ya mkazi wa Peramiho leo. Sulemani ambaye ni mwenyeji wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma alisema alianza kazi ya kutoa mchwa tangu 1980. Tatizo la mchwa ni kubwa katika Mkoa wa Ruvuma.



Shimo alimopatika Malkia wa mchwa ili hapa.


Malkia wa mchwa  jinsi anavyoonekana vizuri. Pembeni mwa malkia wa mchwa ni kadume ka malkia.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...