Tuesday, 30 August 2011

WANOVISI WAKIBENEDKTINI

Baadhi ya wanovisi kutoka mashirika mbalimbali ya kitawa na walezi wao wakiwa katika picha ya pamoja na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Songea Norbert Mtega (katika walioketi) katika kongamano lao la kubadilishana mawazo na ujuzi hivi karibuni. Walioudhuria kongamano hilo ni  watawa kutoka katika nyumba za kitawa za Peramiho (Wenyeji), Abasia ya Ndanda, Abasia ya Hanga, Abasia ya Mvimwa, Bikiria Maria Msaada wa Wakristo Ndanda-Ndolo, Mt. Agnes Chipole, Wakaimadores-Mafinga na Mt. Gertrude Imilwaha.


No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...