Saturday, 14 September 2013

MKUTANO WA WADAU WA HABARI SONGEA


(L-R) Mohamed Mchele mdau, M/kiti - UWABIMASO Karim Ismail na Shekhe Abdullah Hamidu (Kitete) ambaye in shekhe wa Wilaya ya Songea mjini wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa mkutano wa wadau wa habari ulioendeshwa na Chama cha waandishi wa habari mkoa wa Ruvuma (RPC) kwa ufadhili ya Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini (UTPC),uliyofanyika Ukumbi wa Majengo SACCOS Mitumbani Songea mijini.
                           
Mwenyekiti wa Umoja wafanyabiashara Manispaa ya Songea (UWABIMASO) Karim Ismail Matumca akifuatilia mada mbalimbali wakati wa mkutano wa wadau wa habari ulioendeshwa na Chama cha waandishi wa habari mkoa wa Ruvuma (RPC) kwa ufadhili ya Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini (UTPC),uliyofanyika Ukumbi wa Majengo SACCOS Mitumbani Songea mijini.


No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...