Thursday, 20 November 2014

HATARIIIIIIIIIIII...!


Wanafunzi wa shule ya msingi Jitegemee Manispaa ya Iringa wakiwa wamesima karibu na mzoga wa mbwa na ukuuchezea katika mtaa wa Beira eneo la kijiweni  leo bila kujali afya zao. Mbwa huyo alitupwa jalalani karibu na nyumba ya mwenyekiti wa mtaa wa beira bila kuzikwa ambapo kiafya ni hatari kama walivyokutwa watoto wadogo  hao wakiacha masomo na kwenda kuchezea mzoga huo, noma sana! (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...