Sunday, 23 November 2014

MTAA KWA MTAA, HAPA NI MTAA WA IDUNDA...!

MKAZI mmoja ambaye hakufahamika jina lako mara moja akiokota vitu mbalimbali toka jalala lililopo mtaa wa Idunda Manispaa ya Iringa leo. Kwa maelezo ya baadhi ya wakazi wa mtaa huo walisema kuwa taka hizo hazijazolewa kwa muda mrefu na  Malmashauri ya Manispaa kiasi cha kuhatarisha afya kwa wakazi wao hasa watoto, kama ilivyokuwa mtoto huyu akijitafutia vitu kutoka kwenye jalala leo mchana. Hivi

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...