Saturday, 27 December 2014

TUNACHOTA MAJI...!


Wakazi wa mtaa wa Isoka B Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa ambao hawakufamika majina yao mara moja wakichota maji kwenye mpira wa maji uliopasuka. Ni kawaida kukuta hali kama hii sehemu nyingi za ambao watu wanapasuwa bomba la maji kunakopelea mamlaki ya maji safi na taka (IRUWASA) kukosa mapato.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...