Saturday, 28 March 2015

BIASHARA YA MAJI IMESHAMIRI SAME...!


Wakina ambao hawakufahamika majina yao mara moja wakisubiri wateja wa kununua maji ambapo dumu moja la maji uuzwa kati ya shilingi 200 hadi 400 katika stendi ya basi wilayani Same, mkoani Kilimanjaro kama walivyokutwa na mtandao wetu, na wateja wao wakubwa ni madereva wa malori na wafanyabisha wa chakula. 




No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...