Sunday, 7 June 2015

KUTOKA KANISANI: TUSIWEKE HAZINA DUNIANI BALI MBINGUNI AMBAPO HAKUNA NONDO NA KUTU!


Mchungaji wa Kanisa la KKKT Usharika wa Mlandege mjini Iringa, Petro Majehe akihubiri injili ya Matheo 6: 19-21 katika ibada ya kwanza. Somo la leo lilikuwa wakristo wasiwekeze mali zao duniani ambapo kuna nondo na kutu pamoja na wezi bali wakeze hazina mbinguni ambapo hakuna nondo, kutu na wezi.

Alisema wanadamu wanapenda zaidi mambo ya duniani na kumsahau Mungu ndio maana kunamaovu mengi yanatendeka.
"Ilipo hazina zako ndipo moyo unakuwepo"

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...