Friday, 2 October 2015

LOWASSA ATIKISA MONDULI








MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye anaungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa, Edward Lowassa leo ameitikisa wilaya ya Monduli na maeneo yake.


Lowassa ambaye anaendelea na kampeni zake katika mikoa mbali mbali nchini, ambapo baada ya jana kulitikisa jiji la Dar es Salaam,leo ameendeleza na harakati zake katika maeno ya Monduli ambapo ni Nyumbani kwa mgombea huyo.

Ambapo akiwa Nyumbani kwake huku ametumia mda huo kuwataka watanzania kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura na kumpa ridhaa ya kuongoza huku akizidi dai kuwa amezamilia kuwakomboa watanzania katika hali ngumu ya maisha.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...