Sunday, 1 November 2015

Daniel Kilonge anasimulia alivyochomwa Kisu..



Mwandishi na mpiga picha wa Mjengwablog/Kwanza Jamii, Daniel Kilonge (mwenye mzula) anasimulia alivyochomwa kisua kwa wana familia ya Wanahabari wa Iringa jana asubuhi.  Mwandishi huyo alichomwa kisu kichwani na mtu asiyejulikana ndani ya Daladala. Kulikuwa na mabishano ya kisiasa hapo tarehe 27 Oktoba mwaka huu. Daniel alitulia kwenye kiti akizungumza na abiria mwenzake. Alikuwa njiani akitokea Tumaini kuja katikati ya mji kutekeleza majukumu ya kazi. Maggid

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...