Saturday, 2 April 2016

Mwenyekiti wa mtaa na ofisa mtendaji watuhumiwa kuuza ardhi kinyume cha sheria




Mwenyekiti wa mtaa wa Nsalala wilaya ya Mbeya Stephano Mshani (CHADEMA)na ofisa mtendaji Lwitiko Mwaibindi, walipokamatwa jana baada ya kutuhumiwa kuuza ardhi ya Mamlaka ya mji wa Mbalizi kinyume cha sheria na kuweka fedha hizo kwenye akaunti binafsi ya Mwenyekiti huyo.

Mwenyekiti asema wameuza Milioni nane 8,000,000, Mtendaji aonyesha document kuwa wameuza Milioni nane na laki sita na elfu hamsini 8,650,000.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...