Friday, 29 April 2016

NICO NJOHOLE NA RENATUS NJOHOLE WAWASILI DALLAS, MTANANGE WA SIMBA NA YANGA JUMAMOSI



Renatusi Njohole ak


Renatusi Njohole akiwa katika picha ya pamoja na kaka yake



Benchi la ufundi la Yanga Bwn. Gerry Mshana(kulia) akipata picha ya kumbukumbu na Nico Njohole siku ya Alhamisi Dallas, Texas. Nico na Renatus wamekuja maalum kuhudhuria mkutano wa DICOTA na kuchezea Simba kwenye mtanange wa watani wa jadi.



Kutoka kushoto ni Gerry Mshana, Mary Maswanya (dada mkubwa wa Nico na Renatus), Renatus, Nico na Rais wa DICOTA, Ndaga Mwakabuka walipopata picha ya kumbukumbu. 



Rais wa DICOTA Bwn. Ndaga Mwakabuta akiwa katika picha ya pamoja Nico na Renatus



Kutoka kushoto ni Jerry, Nico, Ndaga Mwakabuta, Renatus, na Gerry Mshana wakiwa kwenye picha ya pamojaiwa katika picha ya pamoja na kaka yake





Benchi la ufundi la Yanga Bwn. Gerry Mshana(kulia) akipata picha ya kumbukumbu na Nico Njohole siku ya Alhamisi Dallas, Texas. Nico na Renatus wamekuja maalum kuhudhuria mkutano wa DICOTA na kuchezea Simba kwenye mtanange wa watani wa jadi.



Kutoka kushoto ni Gerry Mshana, Mary Maswanya (dada mkubwa wa Nico na Renatus), Renatus, Nico na Rais wa DICOTA, Ndaga Mwakabuka walipopata picha ya kumbukumbu. 



Rais wa DICOTA Bwn. Ndaga Mwakabuta akiwa katika picha ya pamoja Nico na Renatus


Kutoka kushoto ni Jerry, Nico, Ndaga Mwakabuta, Renatus, na Gerry Mshana wakiwa kwenye picha ya pamoja


No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...