Monday, 9 May 2016

UVUNJAJI WA SHERIA



Pamoja kwamba kuna kibao kinachokataza kutofanya  shughuli zozote zile katika ofisi ya maliasili na utalii,  wananchi hao walikutwa wakutenganeza gari eneo hilo bila kujali ilani ya kibao kama mpigapicha wetu alivyowakuta wakifanya shughuli katika Mtaa ya Ujasili (Ujasili Road) Mlangege Gereji Manisapaa ya Iringa, mkoani Iringa.

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...