Wanafunzi wa Shule ya Msingi Sinde Kata ya Sinde katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, mkoani Mbeya wa kunywa maji kwenye chemchem ya maji wakati wa mapumziko jana. Wanafunzi hao wako hatarini kuugua magonjwa ya mlipuko kutokana na kunywa maji yasio safi na salama kutoka kwenye Korongo la maji lililopo karibu na shule hao kama ilivyokutwa na mpigapicha wetu. Korongo hilo maarufu kwa jina la Afrika linatumiwa pia na wakazi wa eneo hilo kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya majumbani. Wanafunzi hao waliambia mpigapicha wa gazeti hili kuwa wapo baadhi ya wenzao ambao wameugua ugonjwa wa Kichocho pamoja na homa ya matumbo kutokana na kunywa maji hayo. Shule ya Msingi Sinde pia inakabiliwa na ukosefu maji ya bomba pamoja na ubovu wa miuudombinu ya vyoo vya wanafunzi. (Picha na Friday Simbaya)
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects
IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...

-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
Iringa. Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameomba wananchi wa kata ya Lyamgungwe, Wilaya ya Iringa, kum...
No comments:
Post a Comment