Thursday, 22 December 2016

KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA LA MKOA WA IRINGA KINAENDELELEA...

Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Iringa Lucas Mwakabungu akisoma taarifa kutoka sekta binafsi wakati wa kikao cha baraza la biashara cha mkoa wa Iringa kinachofanyika mjini Iringa leo. (Picha na Friday Simbaya)





Baadhi ya Wajumbe wa kikao cha baraza la biashara cha mkoa wa Iringa wakifuatilia kikao hico kwa makini kinachofanyika mjini Iringa leo. (Picha na Friday Simbaya)



Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Biashara Mkoa wa Iringa akifungua kikao cha baraza hilo kinachofanyika mjini Iringa leo. Walioketi kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Iringa Lucas Mwakabungu na Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa (RAS) Wamoja Ayubu (Picha na Friday Simbaya)



Mweka Hazina kutoka TCCIA Iringa ambaye pia ni mmoja ya wajumbe wa sekretatrieti akisoma taarifa wakati wa Kikao cha Baraza la Biashara la Mkoa wa Iringa (RBC).

Sekretarieti, kushoto niJames sizya mtendaji TCCIA (M) Iringa na Rose mjumbe.



Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia kikao cha Baraza la Biashara cha Mkoa wa Iringa kinachofanyika mjini Iringa leo katika Ukumbi wa VETA. (Picha na Friday Simbaya)






No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...