Sunday, 28 January 2018

MNEC SALIM ASAS AHIDI MAKUBWA KWA UWT WILAYA YA IRINGA



Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) MNEC Salim Abri (Asas) akihutubia mkutano wa baraza la umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Iringa vijijini jana na kuahidi kuchangia shilingi milioni tano kila mwaka katika mpango kazi wa UWT wa miaka mitano (5) 2018-2022 wa umoja huo. Aliyeketi kushoto kwake ni mwenyekiti wa UWT wilaya Iringa Lena Kongole. (Picha na Friday Simbaya)



No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...