Saturday, 26 May 2018

WAZIRI WA MAKAMBA AANDAA MDAHALO NA VIONGOZI WA DINI




Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano January Makamba ameandaa mjadala wa Kitaifa kuhusu nafasi ya Dini na uhifadhi wa mazingira utaohusisha Viongozi wa Dini, Wananchi na Viongozi wa Serikali.


“Itakuwa ni mjadala wa Kitaifa kuhusu nafasi ya Dini na uhifadhi wa mazingira, tumealika Maaskofu wa dini zote, Waislam pia, sisi tunaamini Watanzania wote tunamuamini Mungu ndo mana tumeona tuwatumie Viongozi wa dini kuelimisha” amesema January Makamba

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...