Sunday, 24 November 2013

MSIMU WA MASUKU NA MAEMBE


Wakazi wa mtaa wa Lipinyapinya katika Kijiji cha Peramiho B, wilayani Songea (V), mkoani Ruvuma ambao pia ni wanafunzi wa Shule ya Msingi Mapinduzi wanaosoma darasa la tano na nne wakifukua matundapori aina ya masuku baada ya kuyavundika kwa siku 3 ardhini tayari kwa kula jana mchana. (Picha na Friday Simbaya)



   



No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...