Friday, 22 November 2013

MTOTO AZALIWA NA UTUMBO NJE PERAMIHO





Mtoto wa ajabu amezaliwa katika Hospitali ya Mtakatifu Joseph Peramiho akiwa hana ngozi ya tumboni, yaani amezaliwa na utumbo nje (congenital malfunction). Mama aliyejifungua mtoto hiyo Asumpta Magungu (17) mkazi wa Lihangano katika kijiji cha Peramiho akimuangulia mtoto wake katika wodi namba 3 jana. Picha ndogo ni Muuguzi Mkunga, Odila Kapinga amuonesha mtoto huyo mwenye jinsia ya kike aliyezaliwa na utumbo nje akiwa . (Picha na Friday Simbaya)

No comments:

Iringa Regional Commissioner Calls On Kilolo Leaders To Strictly Supervise Government Projects

IRINGA – The Iringa Regional Commissioner, Kheri James, has urged leaders of the Kilolo District Council—particularly those in the secondary...