Jengo la Bwalo la Chakula katika shule ya sekondari ya Mwika lililojengwa kwa msaada wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kwa ushirikiano na Halmashauri ya wilaya ya Moshi pamoja na wananchi.
Wednesday, 3 August 2016
TANAPA LAKABIDHI JENGO LA BWALO LA CHAKULA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MWIKA
TV 1 KURUSHA MATANGAZO YA LIGI KUU SOKA YA UINGEREZA EPL
Mkuu wa TV 1, Joseph Sayi (katikati),akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu ,Kituo cha Televisheni cha TV1 Tanzania kuanza kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mpira wa miguu ya ligi kuu soka ya Uingereza EPL matangazo ambayo yanatarajia kurushwa kuanzia Agosti 13 mwaka huu. Kulia ni Meneja Masoko wa TV 1, Gillian Rugumamu na Meneja Masoko Startimes, kushoto ni Felix Awino
Meneja Masoko wa TV 1, Gillian Rugumamu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu ,Kituo cha Televisheni cha TV1 Tanzania kuanza kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mpira wa miguu ya ligi kuu soka ya Uingereza EPL matangazo ambayo yanatarajia kurushwa kuanzia Agosti 13 mwaka huu. Kushoto ni Mkuu wa TV 1, Joseph Sayi na kulia ni Mchambuzi wa Michezo Dk. Leakey Abdallah.
Mchambuzi wa Michezo Dk. Leakey Abdallah (katikati), akizungumzia masuala ya mpira katika mkutano huo.
Production Meneja wa TV 1, Mukhsin Khalfan Mambo akizungumza katika mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale
KITUO cha Televisheni cha TV1 Tanzania kinatarajia kuanza kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mpira wa miguu ya ligi kuu soka ya Uingereza EPL matangazo ambayo yanatarajia kurushwa kuanzia Agosti 13 mwaka huu.
Ligi kuu soka nchini Uingereza ndio ligi maarufu zaidi duniani na hii ni kutokana na kushirikisha timu kongwe zenye ubora na mashabiki dunia nzima ikiundwa na timu maarufu duniani kama vile Manchester United,Liverpool, Arsenal pamoja na Chelsea.
TV1 Tanzania ndio kitakuwa kituo pekee cha runinga hapa nchini kupewa haki za kurusha matangazo haya yatakayokujia moja kwa moja yaani Live yakihusisha pia uchambuzi wa ligi hiyo ambapo kutakuwa na vipindi vya kabla ya mechi na baada ya mechi husika.
Kwa upande Mkuu wa Kituo cha TV 1 Tanzania Joseph Sayi alisema hii ni fursa kubwa kwa wadau wa soka hapa nchini kuishuhudia ligi hiyo moja kwa moja, Mkuu wa kitengo cha masoko wa TV1 Gillian Rugumamu alisema lengo ni kuwapelekea watazamaji wao wa Tanzania ligi kuu England ambayo ni ligi inayopendwa na kufuatiliwa na Watanzania.
Baadhi ya watangazaji na wachambuzi watakaokuwa wakishiriki katika urushaji wa matangazo hayo na uchambuzi ni Ally Kashushu na Dkt. Leakey Abdallah ambaye ni mchambuzi mwenye uzoefu wa miaka 20 kwenye tasnia ya michezo husasani uchambuzi.
Mchambuzi wa Michezo Dk. Leakey alisema watanzania wategemee uhondo wa ligi hiyo kutokana na uwepo wa wachezaji nyota na makocha mahiri kama Antonio Conte,Arsene Wenger,Jurgen Klopp na makocha hasimu Jose Mourinho wa Manchester United na Pep Guardiola wa Manchester City.
Tv1 Tanzania ni kituo cha runinga kilianza mwaka 2013 ambapo kilianza kurusha matangazo yake rasmi Januari 2014 ambapo kimekuwa kikiandaa na kurushwa vipindi vyenye ubora wa hali ya juu ambapo TV 1 inapatikana kupitia ving’amuzi vya Startimes namba 103,Azam 119 na Ting 36.
Helicopter money: Are central banks edging closer to dropping cash from the sky?

Mark Carney, Governor of the Bank of England, and other central bankers are looking at radical measures to stimulate growth.
The Bank of England is expected to cut interest rates from already historic lows this week as it prepares to avoid a recession following the UK's decision to leave the European Union (EU). The governor Mark Carney surprised many economists last month by not cutting interest rates, but on Thursday a rate cut to 0.25% is regarded as a near certainty, and possibly a renewed round of money printing.
Bank rate has been held at a record low of 0.5% since March 2009, and the central bank has so far amassed £375bn of government debt in the aftermath of the financial crisis.
A number of closely watched purchasing managers' surveys and other reports have shown sharp contractions in construction, services and factory output since the Brexit vote.
But many economists argue that central banks are running out of runway to lift fragile economies after the 2007 crisis, even by the unconventional means they have adopted so far.
Some say it is time to take up more radical measures, such as helicopter money. This is a term adopted by the economist Milton Friedman in 1969, to describe the idea of a central bank printing money and dropping in onto citizens in order to kick-start the economy.
Allison Nathan, senior strategist for Goldman Sachs Research said this policy "aims to boost nominal gross domestic product by increasing overall spending on goods and services".
Advocates of this measure say this is a highly effective way of putting "free" money into the hands of ordinary people who will be inclined to spend it, rather than pay off debts.
Sending a cheque
Cash could be transferred to people in the form of a government tax break, or even as crudely as simply sending everyone a cheque.
The Bank's current £375bn quantitative easing programme has bought government debt from financial institutions, which are then encouraged to use this cash to lend for mortgages and business expansion. The problem is, it is very hard to measure what effect, if any, this move has had.
However, critics of helicopter money say this move could lead to rampant inflation as a mountain of ready cash leads to a surge in the price of available goods and services.
The closest we have come to this measure in the UK is the payment protection insurance mis-selling pay-outs by banks that has so far totalled £26bn.
The consumer spending from these payments contributed to a rise of between 0.5% and 1% to gross domestic product in 2012 when these payments were close to peak, say a number of research bodies.
Economists say the Bank of Japan may adopt some form of helicopter money next month when it reviews its monetary stimulus program in a bid to stoke growth.
The Bank of England is expected to cut interest rates from already historic lows this week as it prepares to avoid a recession following the UK's decision to leave the European Union (EU). The governor Mark Carney surprised many economists last month by not cutting interest rates, but on Thursday a rate cut to 0.25% is regarded as a near certainty, and possibly a renewed round of money printing.
Bank rate has been held at a record low of 0.5% since March 2009, and the central bank has so far amassed £375bn of government debt in the aftermath of the financial crisis.
A number of closely watched purchasing managers' surveys and other reports have shown sharp contractions in construction, services and factory output since the Brexit vote.
But many economists argue that central banks are running out of runway to lift fragile economies after the 2007 crisis, even by the unconventional means they have adopted so far.
Some say it is time to take up more radical measures, such as helicopter money. This is a term adopted by the economist Milton Friedman in 1969, to describe the idea of a central bank printing money and dropping in onto citizens in order to kick-start the economy.
Allison Nathan, senior strategist for Goldman Sachs Research said this policy "aims to boost nominal gross domestic product by increasing overall spending on goods and services".
Advocates of this measure say this is a highly effective way of putting "free" money into the hands of ordinary people who will be inclined to spend it, rather than pay off debts.
Sending a cheque
Cash could be transferred to people in the form of a government tax break, or even as crudely as simply sending everyone a cheque.
The Bank's current £375bn quantitative easing programme has bought government debt from financial institutions, which are then encouraged to use this cash to lend for mortgages and business expansion. The problem is, it is very hard to measure what effect, if any, this move has had.
However, critics of helicopter money say this move could lead to rampant inflation as a mountain of ready cash leads to a surge in the price of available goods and services.
The closest we have come to this measure in the UK is the payment protection insurance mis-selling pay-outs by banks that has so far totalled £26bn.
The consumer spending from these payments contributed to a rise of between 0.5% and 1% to gross domestic product in 2012 when these payments were close to peak, say a number of research bodies.
Economists say the Bank of Japan may adopt some form of helicopter money next month when it reviews its monetary stimulus program in a bid to stoke growth.
Subscribe to:
Posts (Atom)
WATOTO WAITAKA SERIKALI KUTUNGA SHERIA KALI ...
Na Friday Simbaya, Mufindi Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wilayani Mufindi mkoani Iringa wameiomba serikali kwa kush...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Na Daniel Mbega, MaendeleoVijijini MIEMBE hulimwa karibu katika nchi zote zilizoko kwenye ukanda wa joto, na hasa tropiki. Nchini ...
-
The most deadly form of tuberculosis is one that lies in wait inside the body for years, attacking at the first sign of weakness. Abou...