Sunday, 11 January 2015

Msambatavangu: Vijana msikubali kutumika kisiasa...!

Afisa Kilimo waManispaa ya Iringa, Robert Semaganga akionyesha mfano ya namna ya kuchimba mashimo ya kupanda mbegu za alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana.

Mpishi akipika chakula kwa ajili ya vijana waliokwenda kupnada mbegu za alizeti katika shamba la vijana lililopokijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana.

Vijana wakishuka kwenye gari baada ya kufika shambani kwa ajili ya kupanda alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana. 


Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu akishiriki kupanda alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana. 



Mpishi akimuandaa ndege aina kwale aliyenaswa kwenye mtego katika shamba la utafiti la uyole ambapo vijana zaidi ya 100 kutoka zote za manispaa ya iringa walishiriki kupanda alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana. 



Vijana wakifungua mfuko wa mbegu za alizeti kwa ajili ya kupanda.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu akipata maelezo kutoka kwa msimamizi wa shamba la utafiti la uyole kabla ya kushiriki kupanda alizeti katika shamba la vijana lililopo kijiji cha Kising'a wilayani Iringa jana.  

MAGAZTI LEO JUMAPILI

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...