Msimu wa mavuno umewadia tena. Hawa ni wakazi wa Mtaa wa Yerusalemu Peramiho, Wilaya ya
Songea, Mkoani Ruvuma wakisaidiana kupukuchua mahindi baada ya mavuno kwa
kutumia mashine ndogo inayosukumwa kwa nguvu ya genareta. Mashine hiyo ya
kupukuchulia hukodishwa na wafanyabiashara kwa wakulima wadogo wadogo katika
kipindi hiki cha mavuno. Mkoa wa Ruvuma ni maarufu sana kwa Kilimo cha mahindi. Hogereni sana kwa mavuno!
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Friday, 8 July 2011
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...
