Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Monday, 2 March 2015
WARSHA KWA WADAU WA MRADI WA UPATIKANAJI, MATUMIZI NA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA MAJI!
Allain Charles mhasibu wa WWF-Iringa akitoa utaratibu wa uwezeshaji wakati kwa warsa kwa wadau wa upatikanaji, matumizi na usimamizi wa rasilimali za maji katika hali endelevu Ruaha unaoendelea katika mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe leo.
Afisa Maji Ofisi ya Maji Bonde la Rufiji (RBWB) Idris Abdallah Msuya akitoa ufafanuzi juu ya warsha kwa wadau wa upatikanaji, matumizi na usimamizi wa rasilimali za maji katika hali endelevu Ruaha unaoendelea katika mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe leo.
Mhadhiri kutoka Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini -Dodoma, Andrew Komba akitambulisha ratiba kwa wadau wakati wa warsha kwa wadau wa upatikanaji, matumizi na usimamizi wa rasilimali za maji katika hali endelevu Ruaha unaoendelea katika mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe leo.
Mchoraji maarufu kutoka Dar es Salaam Rashid Mbago akimtambulisha Afisa Elimu ya Mazingira kutoka WWF Ruaha Water Program, Mwamini Masanja kwa wadau wakati wa warsha kwa wadau wa upatikanaji, matumizi na usimamizi wa rasilimali za maji katika hali endelevu Ruaha unaoendelea katika mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe leo. Utaratibu ni kwamba unamtambulisha mwenzako na mwenzako na kutambulisha wewe.
Kutoka kushoto ni mwandishi wa StarTV Njombe, Mercy Sekabogo, Mhariri wa habari Ebony FM Rashid Chilumba, Mwandishi wa Channel Ten Mbeya, Rose Chapewa, Mwandishi wa ITV/RadioOne Mbeya, Festo Sikagonamo na Friday Simbaya wa The Guardian Iringa wakati wa warsha kwa wadau wa upatikanaji, matumizi na usimamizi wa rasilimali za maji katika hali endelevu Ruaha unaoendelea katika mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe leo.
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...











