Thursday, 25 December 2014

SALAMU ZA MKUU WA MKOA WA IRINGA ZA KUWATAKIA HERI WANANCHI WA MKOA WA IRINGA KATIKA SHEREHE ZA NOELI NA MWAKA MPYA 2015


Ndugu Wananchi wa Mkoa wa Iringa
Ninayo heshima kubwa kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyetuwezesha tuwe na afya njema tokea tulipoanza mwaka 2014. Ni matumaini yangu kuwa Mungu atatuwezesha pia kuumaliza salama mwaka 2014 na hatimae kuuanza mwaka 2015.

MAGAZETI LEO












ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...