Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Mchinga Ndugu Said Mtanda wakati wa mapokezi yake yaliyofanyika Kitomanga Mkwajuni jimboni hapo wilaya ya Lindi vijijini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa jimbo la Mchinga waliojitokeza kumpokea.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisikiliza wimbo maalum wa mapokezi kutoka kikundi cha uhamasishaji cha CCM Mchinga mara baada ya kuwasili Kitomanga Mkwajuni jimbo la Mchinga.
Katibu Mkuu wa CCM akishiriki ujenzi wa ghala la kijiji ambalo litatumika kuhifadhia chakula kwa wakazi wa Kitomanga Mkwajuni
Pamlomo24 is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.
Monday, 17 November 2014
CHADEMA yafunika Mang'ula kwa mkutano wa kihistoria


Na Mohamedi Mtoi
Mwenyekiti Taifa amefanya mikutano mitano kwenye majimbo matatu ya Ulanga Magharibi, Ulanga Mashariki na Kilombero.
AFYA YA JK YAENDELEA KUIMARIKA...!


Hali ya Rais Jakaya Kikwete imeendelea kuwa nzuri baada ya kuruhusiwa hospitalini na kuendelea na mapumziko. Amekuwa akiendelea na mazoezi aliyopangiwa na kufanya kazi mbalimbali za kiofisi.
Siku ya kunawa mikono duniani, siku ya choo duniani na wiki ya usafi wa mazingira nchini (HAND WASHING DAY)
Kibuyu Mchirizi kwa ajili ya kunawa mikono kwa maji safi na salama na sabuni baada ya kutumia choo.
Ofisa Afya wa mkoa wa Iringa Khadija Harouni (kulia) akitoa ufafanuzi kuhusu ziara maalum ya mafunzo katika Shule ya Msingi Nyololo kwa walimu wa shule hiyo pamoja na wataalam kutoka Halmashauri ya Wilaya Mufindi, mkoani Iringa. Shule hii ilichaguliwa kutekeleza kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira, matumizi ya maji vyooni na afya shuleni (SWASH). (PICHA ZOTE NA FRIDAY SIMBAYA)
Maadhimisho ya wiki ya mlipa kodi
MENEJA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoani Dodoma Thadeo Kaliza ( katikati) akizindua maadhimisho ya wiki ya mlipa kodi kwa kukata utepe katika viwanja vya TRA Mkoani humo.Kushoto kwake ni Meneja Msaidizi wa Ukaguzi wa TRA Ramadhan Muya na kulia kwake ni Meneja Msaidizi madeni wa TRA Ngaka Magele .Kilele cha maadhimisho hayo ni Novemba 21 mwaka huu.(PICHA NA JOYCE KASIKI)
Subscribe to:
Comments (Atom)
ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...
-
Peter Mbata's the Deputy Headmaster and Amon Chota (academic master). Headmaster of Ifunda Technical School, Mpambwe Paul ...
-
KIKUNDI cha Upendo ni kikundi cha kina mama 20 walioamua kujiunga kwa pamoja na kuanz...
-
Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate ...












