Monday, 12 January 2015

MKOA WA IRINGA WAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI


Mkoa wa Iringa wameamua kuadhimisha Kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa shughuli ya upandaji Miti.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza alisema hayo leo kuwa watu wanatakiwa kutambua umuhimu wa miti katika maisha yao.

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...