Saturday, 20 September 2014

NYALUSI:MAANDAMANO YA CHADEMA IRINGA YAKO PALEPALE...!

wakazi_1e654.jpg
mwt_2_f4391.jpg
Mwenyekti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya kitanzini leo.
mwt_d95b0.jpg

mkazi_91e43.jpg
Mkazi wa Kitanzani Claud Mahembe akiuliza swali la kutaka kupata ufafanuzi kweni bunge la katiba maalum halisitishwi kwa mwenyekiti wa Chadema Wilaya Iringa Frank Nyalusi wakati wa mkutano wa hadhara jioni leo.

Na Friday Simbaya, Iringa
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Iringa Mjini limeshindwa kufanya maandamano ya amani kama ilivyotangazwa kwa kile kilichoelezwa na Mwenyekiti wake, Frank Nyalusi "tumepokea zuio kali kutoka jeshi la Polisi."

ASAS AWATOA HOFU WANANCHI KUHUSU VURUGU ZA UCHAGUZI

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Salim Abri Asas , amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika Uchagu...